Kipindupindu chatikisa Dodoma, chaua wanne Mkuu wa wilaya ya Dodoma, Dk Jasmin Tiisekwa Ugonjwa wa kipindupindu umeendelea kushika kasi katika wilaya ya Dodoma ambapo hadi sasa watu 4 wamefariki dunia na wengine 54 wameugua ugonjwa huo. Read more about Kipindupindu chatikisa Dodoma, chaua wanne