Tanzania yasifiwa kwa mazingira ya uwekezaji

Bw. Lin Zhiyong kutoka China akisalimiana na Rais wa Chama Cha Wafanyabiashara na Wenye Viwanda Tanzania (TCCIA) Bw. Aloys Mwamanga.

Tanzania imetajwa kuwa nchi pekee barani Afrika kuwa na vivutio vingi vya uwekezaji, sifa inayoiweka kwenye mazingira mazuri ya kuendelea kiuchumi kutokana na idadi kubwa ya wawekezaji kuja kuwekeza nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS