Serikali yashauriwa kuboresha sekta ya madini

Mshauri mwelekezi wa sekta ya madini kutoka kampuni ya MTL Consulting John-Bosco Tindyebwa.

Wadau wa sekta ya madini nchini wameishauri serikali ya awamu ya tano kuboresha sekta ya madini ili kuweza kuleta ushindani kimataifa na kusaidia kukuza maendeleo ya haraka kwa wananchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS