Tanzania yaongoza kwa kuuza korosho ghafi duniani

Wakulima wakipakia Korosho baada ya kutoka kuzivuna Mashambani

Tanzania imetajwa kuwa ni nchi pekee duniani inayouza korosho ghafi kwa bei ya juu zaidi kutokana na kuwa na korosho bora na zenye soko zuri kiasi cha kuwafanya wanunuzi kununua kwa bei nzuri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS