Rapa Mkongwe katika gemu ya rap Bongo, Inspekta Haroun
Rapa Mkongwe katika gemu ya rap Bongo, Inspekta Haroun ametoa nasaha zake kwa wasanii wanaofanya muziki kwa sasa kuzingatia utajiri wa ladha mbalimbali za muziki ambazo wanaweza kujivunia hapa nchini.