Mabeste asogeza ndoa yake mwakani

staa wa muziki Mabeste akiwa na mchumba wake Lisa Karl

Baada ya kipindi kirefu cha ukimya kuto staa wa muziki Mabeste alipotangaza nia yake ya kurasimisha mahusiano yake na Lisa Karl, mama mtoto wake, staa huyo ametangaza kuwa, mpango huo wameamua kuukamilisha mwaka ujao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS