Sapoti zampa mzuka Belle 9

staa wa muziki wa bongfleva Belle 9

Katika kipindi hiki ambacho kuna mvutano mkubwa juu ya wasanii bora hapa Tanzania hususan kwa upande wa mashabiki, nyota wa muziki Belle 9 amesema sapoti ambayo amekuwa akipata katika muziki wake, ameamua kuihamishia katika kufanya kazi nzuri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS