King Saha azushiwa kifo

Nyota wa muziki King Saha wa nchini Uganda

Nyota wa muziki King Saha wa nchini Uganda amepata wakati mgumu wa maisha yake baada ya kuzushiwa kifo, taarifa zilizosambaa kwa kasi kubwa kwa njia ya mitandao na kumuacha na kazi kubwa ya kuwaaminisha watu kuwa yupo sawa sawa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS