Lipuli FC yatamba kukwea ligi kuu msimu ujao

Kikosi cha wanapaluhengo kwenye piacha ya pamoja katika uwanja wa kumbukumbu ya Samora mkoani Iringa

Uongozi wa timu ya Lipuli ya mkoani Iringa umesema upo kwenye mkakati kabambe wa kuhakikisha timu yao inapambana na kuhakikisha wanaipiku Ruvu Shooting na kukwea ligi kuu ya soka Tanzania bara msimu ujao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS