Kili Stars kama Barcelona, yaichapa 4 Somalia
Ushindi wa Stars hii leo ni kama vile walivyofanya vinara wa ligi kuu ya soka ya Hispania maarufu kama La Liga Barcelona hapo jana usiku kwa kuwafurusha mahasimu wao wakubwa Real Madrid kwa jumla ya mabao 4-0 katika uwanja wa Santiago Bernabeu