Msiwe na vigugumizi katika maamuzi-Ombeni Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema hatarajii kuwaona Makatibu wakuu na Manaibu makatibu wakuu wanakua na kigugumizi katika kuchukua maamuzi dhidi ya watumishi watakao kuwa na makosa. Read more about Msiwe na vigugumizi katika maamuzi-Ombeni