Msaidizi IGP na familia yake wafa Maji Dodoma

Kushoto ni gari ya Msaidizi wa IGP,Ernest Mangu, Ndugu Gerlad Ryoba picha Ndogo ( Kulia)baada ya kutolewa eneo la tukio

Watu nane wamefariki dunia Mkoani Dodoma wakiwemo watu sita wa familia moja ambayo ni ya Msaidizi wa IGP, baada ya gari walilokuwa wakisafiria kusombwa na maji katika eneo la Bwawani mji mdogo wa Kibaigwa Wilaya ya Kongwa

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS