Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa
WAFANYAKAZI 38 wa kiwanda Yuko’s Enterprises (E.A) kilichoko Kiluvya Plot no. 23, wilayani Kisarawe mkoani Pwani wamefukuzwa kazi baada kukataa kusaini mkataba wa kazi ambao ulikuwa na mkanga nyiko.