Tanzania kusimamia soko huria Afrika Mashariki

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga

Serikali ya Tanzania imesema pamoja na kuzingatia amani inakuwepo katika nchi za Afrika Mashariki lakini pia itasimamia kupunguza makali ya soko la huria kwa nchi hizo ili kukuza uchumi wa wananchi wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS