Serikali yasema Kipindupindu bado tatizo nchini

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamiin Jinsia , Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu akifungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la Wizara ya Afya

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia watoto na wazee imesema kuwa bado kuna maambukizi mapya ya ugonjwa wa kipindupindu hapa nchini, na kusisitiza kuwa agizo lake la kupiga marufuku uuzwaji wa matunda pamoja na chakula lipo pale pale.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS