Leah Muddy aigeukia Injili 2016
Mwanamuziki alieanzia katika miziki ya Kizazi Kipya baadae muziki wa band ,Mwanadada Leah Muddy kwa sasa ameugeukia muziki wa Injili na amesema amekwisha achia album yake ya Namshangaa bwana Mungu maalumu kama zawadi yake ya mwaka 2016.

