Masasi yawa ya pili kutoka mwisho darasa la saba

Wanafunzi wa Shule za Msingi nchini Tanzania wanaokabiliwa na ukosefu wa madawati wakiwa wamekaa chini darasani.

Maafisa elimu wa Halmashauri za Masasi na Nanyumbu mkoani Mtwara wametakiwa kuinua viwango vya ufaulu katika halmashauri zao kutokana na kushika nafasi mbili za mwisho kimkoa katika matokeo ya mtihani wa darasa la saba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS