Mshirika wa rais Trump auawa kwa kupigwa risasi

Mwanaharakati wa kihafidhina wa Marekani Charlie Kirk, mshirika mwenye ushawishi mkubwa wa Rais Donald Trump, ameuawa kwa kupigwa risasi siku ya jana Jumatano alipokuwa akizungumza katika chuo kikuu cha Utah.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS