NEMC; Miradi isiyotunza mazingira itafungiwa Baraza la taifa la Mazingira NEMC limewataka watu wanaotaka kuanzisha miradi kuhakikisha wanaifuata kikamilifu sheria ya kufanya tathmini ya uharibifu wa mazingira kabla ya kuanzisha mradi huo. Read more about NEMC; Miradi isiyotunza mazingira itafungiwa