Prof. Mbarawa awashukia watumishi Tazara

Profesa Makame Mbarawa akiongea na Viongozi pamoja na Wafanyakazi wa TAZARA

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa anesena kuwa serikali haitasita kuchukua hatua za kisheria kwa mfanyakazi yoyote wa Mamlaka ya reli ya Tanzania na Zambia, (TAZARA), atakaejihusisha na vitendo vya kuihujumu mamlaka hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS