Maafisa uhamiaji 3 wahukumiwa kunyongwa mpaka kufa
Hukumu hiyo imetolewa juzi Desemba 15, 2025, na Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Augustine Rwizile, baada ya ushahidi uliowasilishwa mahakamani kubaini kuwa mauaji hayo yalitekelezwa na maafisa hao.

