Waliohamishiwa Kibiti wapewa mwezi mmoja kuripoti

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa mwezi mmoja kwa watumishi waliohamishiwa wilaya mpya ya Kibiti mkoani Pwani kuripoti katika kituo chao cha kazi na watakaoshindwa kutekeleza watakuwa wamejifukuzisha kazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS