Mkwasa kusaka vipaji vya Taifa Stars, nchi nzima

Kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars" Charles Boniface Mkwasa

Shirikisho la Soka Tanzania, TFF limesema kuwa meshaanza programu maalumu kwa ajili ya Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania Charles Boniface Mkwasa kusaka vipaji vipya mikoani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS