Rooney aapa kupigania namba England

Wyne Rooney

Nyota wa Man United, Wayne Rooney, amesema ataendelea kuchezea timu ya Taifa ya Uingereza, licha ya kuondoshwa katika kikosi kitakachoanza hii leo, dhidi ya Slovenia, kutafuta tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia 2018.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS