Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia
Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli jioni ya jana (Novemba 28, 2016) alimuandalia dhifa ya kitaifa mgeni wake Rais wa Zambia Edgar Lungu iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam.