Watanzania watakiwa kuzingatia afya ya kinywa

Kebwe Stephen Kebwe - Mkuu wa Mkoa wa Morogoro

Watanzania wametakiwa kujenga tabia ya kupima afya zao mara kwa mara, ikibidi angalau mara moja kila mwaka ili kuondokana na tatizo la milipuko ya magonjwa yakiwemo yanayohusu afya ya kinywa na meno, ambayo yameendelea kuwaathiri watu wengi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS