Mtanzania ashinda dhahabu Mumbai Marathon

Alphonce Felix akimalizia mbio zake za Mumbai Marathon

Mwanariadha wa Tanzania Alphonce Felix Simbu aliyeibuka mshindi na kutwaa medali ya dhahabu katika mashindano ya riadha ya dunia ya Mumbai Marathoni yaliyofanyika nchini India, amefichua siri ya ushindi wake

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS