Wawili wapoteza maisha kwa kukosa dawa za kulevya

Rogers Sianga, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya, Rogers Sianga amesema watu wawili wameripotiwa kupoteza maisha mkoani Mwanza kwa sababu ya kukosa dawa za kulevya mtaani kama walivyozoea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS