Ujumbe wa Naibu Spika kwa taifa kuhusu wasichana

Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson

Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Mwansasu ameitaka jamii kuwa na utaratibu wa kuongea na vijana wa kike ikiwa ni pamoja  na kuwaweka wazi juu ya  njia mbalimbali za kujisitiri pindi wanapoanza kuona mabadiliko katika miili yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS