Ndalichako ataka wanafunzi wapimwe dawa za kulevya

Waziri wa Elimu, Prof. Joyce Ndalichako

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako amewaagiza wakuu wote wa vyuo nchini kuwatambua wanafunzi wao wanaojihusisha na matumizi ya dawa za kulevya na kupeleka taarifa kwake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS