'Vibonde' wa Yanga watua Dar kwa kishindo
Wapinzani wa Yanga katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika timu ya Ngaya kutoka Comoro wamewasili leo jijini Dar es Salaam tayari kabisa kwa mchezo wa marudiano utakaochezeshwa na waamuzi kutoka nchini Uganda.