'Vibonde' wa Yanga watua Dar kwa kishindo

Kikosi cha Ngaya kutoka Comoro kikiwasili hii leo Uwanja wa Ndege Jijini Dar es salaam

Wapinzani wa Yanga katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika timu ya Ngaya kutoka Comoro wamewasili leo jijini Dar es Salaam tayari kabisa kwa mchezo wa marudiano utakaochezeshwa na waamuzi kutoka nchini Uganda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS