Matunda ya 'Elimu Bure' yawekwa hadharani

Mkurugenzi Mtendaji wa Haki Elimu Bw.John Kalage.

Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Haki Elimu unaonesha kuwa fedha za ruzuku kwa ajili ya elimu bure zinazopelekwa mashuleni hazizingatii idadi ya wanafunzi kama ambavyo inapaswa kuwa jambo ambalo limekuwa likiwapa wakati mgumu walimu wakuu mashuleni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS