Bei mpya za mafuta ni balaa

Kituo cha mauzo ya mafuta

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei elekezi za mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi Machi mwaka huu ambapo mafuta ya petroli na disel kwa bei za jumla na reja reja imepanda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS