John Bocco awanyima furaha Simba SC
Baadhi ya mashabiki wa timu ya Simba kindakindaki wameonekana kujawa na hofu katika kuelekekea mtanange wa Nusu Fainali za Kombe za Shirikisho FA dhidi ya Azam FC baada ya kusikia kurejea uwanjani kwa Nahodha John Bocco ‘Adebayor.

