Mwenge wa uhuru waibua kitimtim Bungeni
Serikali imesema haina mpango wowote wa kusitisha mbio za mwenge wa uhuru na kwamba dhana ya kutekeleza kitendo hicho kitaendelezwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine huku ikiahidi kuwa zoezi hilo litasisitizwa bila kuchoka.

