Mvua itanyesha kwa siku 10 mfululizo nchini-TMA Kwa mujibu wa TMA, maeneo yanayotajwa kupata mvua zinazoambatana na ngurumo za radi ni mikoa ya ukanda wa ziwa Viktoria abayo ni Kagera, Geita, Shinyanga, Mwanza, Simiyu na Mara. Read more about Mvua itanyesha kwa siku 10 mfululizo nchini-TMA