China yafyatulia maji ya kuwasha meli za Ufilipino
Mapambano ya leo Jumanne yalihusisha zaidi ya meli 10 za Ufilipino kwa mujibu wa Gan Yu, msemaji wa Walinzi wa Pwani ya China, akizishutumu meli hizo kwa kuvamia kinyume cha sheria eneo la Uchina la maji kutoka kwa njia tofauti za Scarborough.