Mama Kanumba, Lulu watumiwa ujumbe mzito
Muigizaji Mkongwe wa filamu nchini, Natasha Mamvi amefunguka na kutoa pole kwa Wazazi wa wasanii, Kanumba na Lulu baada ya Mahakama Kuu kutoa hukumu kwa muigizaji lulu kutokana na kukutwa na kosa la kuua bila kukusudia kwa Muigizaji Kanumba.