Mjue zaidi marehemu Ndikumana wa Uwoya

Klabu ya soka ya Rayol Sports imempoteza kocha wake msaidizi Hamad Ndikumana ambaye amefariki usiku wa kuamkia leo ambapo ripoti za awali zinasema kifo chake kimesababishwa na matatizo ya Moyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS