Mjue zaidi marehemu Ndikumana wa Uwoya Klabu ya soka ya Rayol Sports imempoteza kocha wake msaidizi Hamad Ndikumana ambaye amefariki usiku wa kuamkia leo ambapo ripoti za awali zinasema kifo chake kimesababishwa na matatizo ya Moyo. Read more about Mjue zaidi marehemu Ndikumana wa Uwoya