Rais Magufuli asifiwa

Naibu Waziri wa Habari Sanaa Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza amemsifu na kukiri kwamba Rais Magufuli ni kiongozi mwenye ushawishi kwa mataifa mengine ndiyo maana Mfalme wa Morrocco aliahidi kujenga uwanja wa mpira mkoani Dodoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS