Azam FC yajivunia kijana wa maajabu Klabu ya soka ya Azam FC kupitia kwa msemaji wake Jaffary Idd imesema kitendo cha chipukizi wao Paul Peter kupata mkataba wa miaka minne kwenye kikosi hicho ni mfano kwa vijana wengine waliopo timu za chini. Read more about Azam FC yajivunia kijana wa maajabu