''Nipe changu nilipe nisepe'' - Naibu Waziri Naibu waziri wa madini Stanslaus Nyongo amewataka wamiliki wa mgodi wa GGM, mkoani Geita kuwalipa fidia wananchi ambao wamewaondoa kwenye maeneo yao na kuacha visingizio vinavyowakandamiza wananchi. Read more about ''Nipe changu nilipe nisepe'' - Naibu Waziri