Rais Samia ameniteua kuwa daraja-Katambi
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Patrobas Katambi amefanya Kikao Kazi na Viongozi wa Dini nchini huku akiwaeleza Viongozi hao kuwa ameteuliwa na Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kuwa daraja Kati ya Viongozi wa Dini na Serikali

