Mbeya City watambulisha 'uzi' wao mpya

Mashabiki wa mbeya city wakiwa katika muonekano wa jezi mpya watakazo tumia msimu ujao.

Kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania bara 2018/2019, klabu ya Mbeya City ya jijini Mbeya imezindua rasmi jezi zao mpya zitakazozitumikia katika michezo ya VPL na Kombe la FA msimu utakaoanza hivi karibuni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS