IGP Sirro atoa onyo kuhusu bahari

Mkuu wa Jeshi la Polisi , IGP Simon Sirro akishuka kwenye chopa 'helicopter 'kufunga mafunzo ya Polisi wanamaji Mkoani Mwanza.

Jeshi la Polisi nchini limetoa onyo kali kwa watu wanaofanya vitendo vya uhalifu katika bahari, maziwa na mito mikubwa hapa nchini kuacha mara moja kwa kuwa wamejipanga kuhakikisha wavuvi wana kuwa salama wakati wanapofanya shughuli zao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS