“CUF itashiriki uchaguzi wa Ubunge” - Sakaya Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Magdalena Sakaya. Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Magdalena Sakaya amesema chama hicho kitashiriki uchaguzi wa ubunge katika majimbo ya Buyungu, Jangombe na kwenye Kata 79. Read more about “CUF itashiriki uchaguzi wa Ubunge” - Sakaya