Aslay apigwa onyo

Msanii Aslay.

Msanii wa Bongofleva Beka Flavour amefunguka na kumtaka mwanamuziki mwenzake Aslay kuongeza nguvu na maarifa kwenye muziki wake ili aweze kufika mbali zaidi huku akimsii kuachana na masuala ya kiki za mitandoni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS