Burkina Faso, Mali na Niger zajiondoa ICC "ICC imejidhihirisha kuwa haina uwezo wa kushughulikia na kushtaki uhalifu wa kivita uliothibitishwa, uhalifu dhidi ya ubinadamu, uhalifu wa mauaji ya halaiki, na uhalifu wa uchokozi" Read more about Burkina Faso, Mali na Niger zajiondoa ICC