Rasmi Ufaransa yatambua uwepo wa Palestina

Makofi mengi yamesikika wakati Ufaransa ikilitambua taifa la Palestina siku ya jana Jumatatu, Septemba 22 na kuushinda msukumo wa miezi kadhaa wa utawala wa Trump uliokuwa ukizikatisha tamaa nchi nyingine kuungana na Paris katika mpango huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS