Waathirika wa maafa ya kuanguka nyumba watembelewa Hii ni mara ya pili kwa mtaa wa Mitendewawa kukumbwa na maafa ya aina hiyo, ambapo mwaka 2024 mwezi Desemba pia nyumba kadhaa zilianguka kutokana na mvua na upepo mkali. Read more about Waathirika wa maafa ya kuanguka nyumba watembelewa