Mwanamke ahukumiwa kisa picha chafu za watoto

Mwanamke mmoja wa makamo, Regina Munyoki maarufu kama Big Mama, amefikishwa katika Mahakama ya Mombasa nchini Kenya akikabiliwa na mashitaka ya kusambaza picha za ngono za watoto na utakatishaji wa fedha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS